Saturday 31 May 2014

Save the Children yatoa ripoti na wito Kukomesha vifo vya Watoto Wachanga Ulimwenguni


"Siku ya kwanza ya uhai wa mtoto ni wakati wa hatari sana na akinamama wengi hujifungua wakiwa peke yao, sakafuni majumbani mwao au hata vichakani bila msaada wowote wa kuokoa maisha. 
 
Tunapata taarifa za kutisha kuhusu akinamama kutembea umbali mrefu kwa masaa mengi huku wakiwa na uchungu, ili wapate msaada wa kitaalamu." anasema Jasmine Whit Bread, Mkuu wa shirika la Save the Children wakati wa uzinduzi wa ripoti ya hivi karibuni. 
 

No comments:

Post a Comment