"Siku ya kwanza ya uhai wa mtoto ni wakati
wa hatari sana na akinamama wengi hujifungua wakiwa peke yao, sakafuni
majumbani mwao au hata vichakani bila msaada wowote wa kuokoa maisha.
Tunapata taarifa za kutisha kuhusu akinamama kutembea umbali mrefu kwa
masaa mengi huku wakiwa na uchungu, ili wapate msaada wa kitaalamu."
anasema Jasmine Whit Bread, Mkuu wa shirika la Save the Children wakati
wa uzinduzi wa ripoti ya hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment