1. Kama ungejua mumeo au mkeo atakuwa na tabia aliyonayo sasa ugekubali kuoana naye?
2. Je umeoa/kuolewa na mtu uliyemtaka; ni chaguo lako halisi?
3. Sababu gani zinakufanya uendelee
kuishi na mkeo/mumeo hadi sasa Je (watoto, sababu ndoa ya kikristo haina
talaka/wazazi watakulaani ukitengana nae/navumilia/bado nampenda/
tunaishi kwa mazoea?)
4. Sababu gani iliyokufanya uwe na
uhusiano wa kingono nje ya ndoa?(kuchuja kwa mwenzako, tamaa ya mwili,
marafiki wabaya, kasoro ya kimaumbile ya mwenzangu, tamaa ya mali/
kukosekana kwa maelewano ndani ya nyumba).
Majibu bila shaka unayo lakini tunaweza kukusaidia zaidi....
Teta nami
Brother Kalu
0655 440749
kalulunga2006@gmail.com
No comments:
Post a Comment